Taarifa Rasmi.
Matokeo ya supplimentary yanatarajiwa kutolewa tarehe 28 september kwa mujibu wa almanac ya chuo chetu, hivyo basi ni siku mbili tu zimebaki kuanzia sasa ili matokeo hayo yatolewe.
Tuendelee kuomba Mungu ili matokeo yawe mazuri kwa kila mmoja wetu.
Kama kuna tatizo/ shida fika ofisi ya COBESO tukuhudumie.
No comments:
Post a Comment