Baadhi ya Viongozi wa serikali ya wanafunzi katika Picha ya pamoja na viongozi kutoka GEPF na Staff kutoka Chuo cha Elimu ya Biashara mara baada ya tukio la makabidhiano ya vifaa vya Usafi wa Mazingira..
Vifaa vilivyotolewa na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii wa GEPF Kupitia wizara ya Afya, Mazingira na Jinsia kwa Ajili ya Chuo cha Elimu ya Biashara Dodoma.
Imetolewa na;
Dadil C.M
Naibu waziri wa Habri na Mawasiliano
No comments:
Post a Comment