Wanachuo wa Diploma Wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa kutunukwa stashahada zao, tukio hilo lilitokea siku ya tarehe 18.11.2017 Siku ya Jumamosi katika mahafali ya 52 ya chuo cha Elimu ya Biashara campus ya Dodoma.
Sherehe hiyo ya Mahafali ya 52 ya chuo cha Elimu ya Biashara ilihudhuliwa na wadau mbalimbali kutoka serikalini, pamoja wageni kutoka sehemu mbalimbali pamoja na wandishi wa Habari...
Imetolewa na;
Dadil C.M
Naibu waziri wa Habari na mawasiliano
COBESO 2017/18
No comments:
Post a Comment